Sweden kuimarisha doria za mpakani
Sweden kuimarisha doria za mpakani"
Play all audios:
Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Ülf Kristensen, amewaambia waandishi wa habari kwamba uamuzi kuhusiana na suala hilo utatolewa Alhamis. Kristensen amesema kuwa wanaimarisha usalama wa Sweden kwa
lengo la kuwazuia watu walio na mafungamano hafifu na Sweden, kuja kufanya uhalifu au kufanya vitendo vinavyokwenda kinyume na maslahi ya kiusalama ya Sweden. WANAUME WAWILI WA IRAK WACHOMA
QUR'AN MBELE YA BUNGE LA SWEDEN. Hapo jana, wanaume wawili raia wa Irak, Salwan Momika na Salwan Najem, walikichoma kitabu cha Qur'an mbele ya bunge la Sweden. Wawili hao awali
waliwahi kufanya vitendo hivyo nje ya msikiti mkuu wa Stockholm na mbele ya ubalozi wa Irak katika mji huo, vitendo vilivyolaaniwa pakubwa na kupelekea mivutano kati ya Sweden na mataifa ya
Kiislamu.
Trending News
Uchaguzi Uganda 2021 – DWNenda kwenye maudhuiNenda kwenye orodha kuuNenda tovuti zaidi za DWVidio zetuSauti zetuMaeneoTanzaniaKenyaJamhuri ya Kid...
Naibu kansela wa ujerumani ziarani ukraineKwa mujibu wa gazeti la the Spiegel la Ujerumani, Habeck ambaye pia ni waziri wa nishati na uchumi atajadili kuhusu sua...
Sweden kuimarisha doria za mpakaniWaziri Mkuu wa nchi hiyo, Ülf Kristensen, amewaambia waandishi wa habari kwamba uamuzi kuhusiana na suala hilo utatolewa...
Latests News
Sweden kuimarisha doria za mpakaniWaziri Mkuu wa nchi hiyo, Ülf Kristensen, amewaambia waandishi wa habari kwamba uamuzi kuhusiana na suala hilo utatolewa...
Naibu kansela wa ujerumani ziarani ukraineKwa mujibu wa gazeti la the Spiegel la Ujerumani, Habeck ambaye pia ni waziri wa nishati na uchumi atajadili kuhusu sua...
Uchaguzi Uganda 2021 – DWNenda kwenye maudhuiNenda kwenye orodha kuuNenda tovuti zaidi za DWVidio zetuSauti zetuMaeneoTanzaniaKenyaJamhuri ya Kid...