Naibu kansela wa ujerumani ziarani ukraine

Dw

Naibu kansela wa ujerumani ziarani ukraine"

Play all audios:

Loading...

Kwa mujibu wa gazeti la the Spiegel la Ujerumani, Habeck ambaye pia ni waziri wa nishati na uchumi  atajadili kuhusu suala la ujenzi mpya wa Ukraine pamoja na ushirikiano katika sekta ya


nishati. Ziara ya Habeck imethibitishwa pia na msemaji wa wizara yake ingawa hakutowa maelezo zaidi kutokana na tahadhari za kiusalama. Sekta ya nishati ya Ukraine imeshambuliwa mara kadhaa


na Urusi katika vita vinavyoendelea na baadhi ya wakati mamilioni ya watu waliachwa kizani kutokana na kuharibiwa kwa miundo mbinu ya umeme.


Trending News

Uchaguzi Uganda 2021 – DW

Nenda kwenye maudhuiNenda kwenye orodha kuuNenda tovuti zaidi za DWVidio zetuSauti zetuMaeneoTanzaniaKenyaJamhuri ya Kid...

Naibu kansela wa ujerumani ziarani ukraine

Kwa mujibu wa gazeti la the Spiegel la Ujerumani, Habeck ambaye pia ni waziri wa nishati na uchumi  atajadili kuhusu sua...

Latests News

Naibu kansela wa ujerumani ziarani ukraine

Kwa mujibu wa gazeti la the Spiegel la Ujerumani, Habeck ambaye pia ni waziri wa nishati na uchumi  atajadili kuhusu sua...

Uchaguzi Uganda 2021 – DW

Nenda kwenye maudhuiNenda kwenye orodha kuuNenda tovuti zaidi za DWVidio zetuSauti zetuMaeneoTanzaniaKenyaJamhuri ya Kid...

Top