Papa francisko akutana na bw. Brad smith wa microsoft window! - | vatican news

Vaticannews

Papa francisko akutana na bw. Brad smith wa microsoft window! - | vatican news"

Play all audios:

Loading...

Bwana Brad Smith amemwambia Baba Mtakatifu Francisko kwamba, kwa kushirikiana na Taasisi ya Kipapa kwa ajili ya maisha, wameamua kuanzisha “Tuzo ya Maadili Katika Matumizi ya Akili Bandia”,


tema itakayojadiliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa Taasisi ya Kipapa kwa ajili ya Maisha kwa mwaka 2020. NA PADRE RICHARD A. MJIGWA, C.PP.S. – VATICAN. Baba Mtakatifu Francisko, tarehe 13


Februari 2019 amekutana na kuzungumza na Bwana Brad Smith, Rais wa Kampuni ya Microsoft, aliyekua ameambatana na Askofu mkuu Vincenzo Paglia, Rais wa Taasisi ya Kipapa kwa ajili ya maisha na


Mkuu wa Taasisi ya Kipapa ya Ndoa na Familia ya Yohane Paulo II. Katika mazungumzo yao na Baba Mtakatifu, wamegusia kuhusu “artificial intelligence” yaani “akili bandia” kwa ajili ya huduma


ya ustawi, maendeleo na mafao ya wengi. Wameongelea juu ya mchakato wa kujenga daraja katika ulimwengu wa kidigitali, ili kurekebisha pengo kubwa lililopo duniani. MWISHONI MWA MAZUNGUMZO


YAO, BWANA BRAD SMITH AMEMWAMBIA BABA MTAKATIFU FRANCISKO KWAMBA, KWA KUSHIRIKIANA NA TAASISI YA KIPAPA kwa ajili ya maisha, wameamua kuanzisha “Tuzo ya Maadili Katika Matumizi ya Akili


Bandia”, tema itakayojadiliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa Taasisi ya Kipapa kwa ajili ya Maisha kwa mwaka 2020. Mkutano mkuu wa Taasisi ya Kipapa kwa ajili ya Maisha utafanyika mjini


Vatican kuanzia tarehe 25-27 Februari 2019, kwa kuongoza na kauli mbiu “Maadili ya Roboti, Binadamu, Mashini na Afya”. Papa Microsoft


Trending News

Raia | designboom.com

DESIGNER'S OWN WORDS: RAIA brings the feeling of freedom to the user by allowing a great variety of position adjust...

Kishengaga

Kashmir Will repatriate body of PaK minor fished out from Kishengaga river: Police Bymigrator July 10, 2019 No Comments ...

Papa:wayahudi na wakristo wanaokiri muumba mmoja wanaweza kufungua njia za amani! - | vatican news

Katika mkutano na wawakilishi wa Jukwaa la Kimataifa la Kiyahudi,Papa Francisko amebainisha kwamba kila vita siku zote,k...

Congo Drc:hakimu ambaye alikuwa akichunguza kifo cha Attanasio ameuawa !

Damu zaidi katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Drc bado inamwagika. William Assani, hakimu wa jeshi ambaye a...

Papa Francisko:Teknolojia zijali kwanza kiini cha mwanadamu

2024.02.12 Papa alikutana na wajumbe washiriki wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Chuo cha Kipapa cha Maisha,   (Vatican Media...

Latests News

Papa francisko akutana na bw. Brad smith wa microsoft window! - | vatican news

Bwana Brad Smith amemwambia Baba Mtakatifu Francisko kwamba, kwa kushirikiana na Taasisi ya Kipapa kwa ajili ya maisha, ...

Safari ya injili ulimwenguni: ushuhuda wa mtakatifu paulo! - | vatican news

ushuhuda wa Mtume Paulo ulijikita katika uinjilishaji kwa kuanzisha Jumuiya za Kikristo pamoja kuendeleza utume wa umisi...

Sala ya malaika wa bwana 24 januari 2021 - | vatican news

Angelus Angelus Dómini nuntiávit Mariæ. Et concépit de Spíritu Sancto. Ave Maria... Ecce ancílla Dómini. Fiat mihi secún...

Idhaa ya kiswahili 22. 10. 2020 - | vatican news

__ The portal Vatican News uses technical or similar cookies to make navigation easier and guarantee the use of the serv...

Papa:hata leo hii kuna mitindo isiyostahili ya utumwa! - | vatican news

Tarehe 31 Desemba 2018 saa 11 jioni massa ya Ulaya Baba Mtakatifu Francisko ameadhimisha masifu ya kwenye mkesha wa siku...

Top